Search This Blog
Wednesday, 13 April 2016
Vitu vyakukumbuka uwapo na pesa
usipokuwa na malengo huwezi jizuia/MAISHA
Huwezi kuwa na nidhamu ya Muda na pesa kama huna MALENGO
JE UNAMALENGO GANI?NDANI YA MUDA GANI?MALENGO NA MUDA HUENDA SAMBAMBA SPEED YAKO YAKUFIKIA UNACHOTAKA INATEGEMEANA NA MUDA ULIO UTENGA.
KAMA UNAMALENGO NA HUJAWEKA MUDA WAKUYAFIKIA...KUA MAKINI...MUDA UNAENDA..
Kila PESA unayopata kila wiki/mwezi/siku
ANZA KWANZA NA MUNGU MPE CHAKE WALAU 10% LAZIMA
THEN 5% SADAKA NA MISAADA
HAKIKISHA 20% YA FEDHA YAKO UMEWEKA AKIBA
-walau kila mwaka au mwezi kutokana nakipato chako jitahidi kuwa kumbuka wazazi wako au walez au yoyote aliekusaidia kufika ulipo...wachungaji...Ukijenga tabia yaku wapa zawadi watu hawa nivizuri.
Then kula,kunywa,endelea na familia na maisha unahitaji
-Kwa MTU yoyote anaemwamini Mungu na nguvu ya fungu lakumi usiache kutoa na kusisitiza tena usiache wala usicheleweshe
Ugumu wa maisha wakati mwingine unachangiwa na kula fungu la kumi.
MUNGU KWANZA,UWEKEZAJI,MATUMIZI
MAFANIKIO YAKO
Saturday, 9 April 2016
Questions to ask yourself before finding a business partner
Like a marriage, a business partnership often begins with enthusiasm and high expectations -- only to end in acrimony and legal proceedings. It's important to know as much as possible about a potential partner, including how his or her finances and family life may affect the business, before signing on the dotted line.
Here are some questions to ask before deciding if partnering is a good idea:
1. What do I need from a business partner?
You should look for a business partner who brings something different to the table than you do. If you're creative, maybe you need a more detail-oriented partner. If you have money to invest in the business, you may want to look for a partner with access to a market, or with great connections. Or if you're shy, you might need a good "people person" to balance the equation. "If they're similar to you, it might be more comfortable, but it may not be what you need," says William M. Moore, founder of the Moore Firm in San Diego, a law firm that serves entrepreneurs. "You need someone who complements your skills and personality."
2. What is your potential partner's financial situation?
It is important to have an understanding of someone's financial status and commitments before getting into a venture together. "It is tough to ask what they are currently spending on a house or in payments to an ex-spouse, but someone's prior financial commitments shape the decisions they will make in the short term," says Gregory Kratofil, an attorney and shareholder with the law firm Polsinelli Shughart in Kansas City, Mo., who specializes in small business interests. "If he has large outstanding obligations, but says he can get by on $35,000 salary, it is a red flag."
3. What are the potential partner's expectations on the time involved?
Partners don't have to spend the same amount of time, but it is important that they are on the same page as to each other's expected time commitments. How many hours a day does your partner expect to put into the venture, and do his expectations meet yours? "It is equally important to level set your partner's expectations on your time commitments," Kratofil says. "The age old adage that it's better to under-promise and over-deliver applies here."
4. Is your potential partner's commitment to the business as strong as yours?
"I don't care if it's a coffee house or a design firm, the business partner's commitment has to equal yours," says Bob Phibbs, consultant and CEO of The Retail Doctor, a site that provides information to small and medium-sized businesses. A partnership -- especially one between friends -- can start off with fun and excitement, but within a short time, the slog of every day catches up with you. If they're not as committed to the business as you, they may lose their enthusiasm and may actually be damaging the brand every time you open your doors.
5. Is there something in your potential partner's family life that might make the business a secondary interest?
If your potential partner has a pregnant wife or is taking care of an elderly parent, he may be distracted from the business. That's why you have to be brutally honest when thinking of forming a partnership. "The partner can say, 'My wife is behind me 100 percent.' But I want to talk to the wife," Phibbs says. "If they're too distracted by a family issue or their family isn't behind them, the business may be doomed from the start."
6. How would he or she handle a tough situation?
It's important to know what your potential business partner will do if he has his back up against the wall -- and it will happen, Phibbs says. The best way to discover this is to look at what he's done in past business ventures. If he couldn't meet payroll, for example: Did he do the right thing and dip into savings or borrow from a credit card or a friend? Or did he pay employees late, or not at all? Or worse, did he skip paying payroll taxes? It all comes down to character issue, Phibbs says, adding, "Payroll taxes are a federal obligation. If that's negotiable, you can bet your partnership is also negotiable."
7. What questions do they have for me?
If a potential employee doesn't ask any questions in a job interview, you might be less likely to hire him because of a perceived lack of interest. The same applies to a potential business partner, who should want to know about your character, reliability and expectations. "I want them to ask me the same tough questions I ask them. If they say it doesn't really matter, it could mean two things: their expectations are too high or they might be kind of flighty," Phibbs says. "Things may be fine now, but in a month or two, they may want to change things or even get out of the deal."
8. What is the potential partner's standing in the community?
A lot of people seem good at first, but that may be their skill -- seeming good at first, Moore says. Once they get their foot in the door, it may be difficult to get them out. Talk to former employees to see what they were like to work with, or for. If you're looking for someone with money connections, verify that they have money. If they say they have great connections, see if those connections go beyond just being recognized and given a slap on the back. "A business partnership is not a marriage, but there should be some sort of courtship process that you can verify that they are who they say they are," Moore says.
9. Are they willing to put everything in writing?
Many partnerships are cemented with a handshake, but this can be a recipe for disaster. It's crucial to put it on paper -- not only what is expected of each partner, but the consequences if expectations aren't met. "There's something about actually putting it in writing that exposes the potential problem areas in the partnership," Moore says. If someone has a family emergency and disappears the first six months of the business -- even though it may not be through any fault of his own -- are you still expected to give that person a certain percentage of the business? "If someone simply isn't pulling his or her weight, you need to be able to get them out without destroying the business," he adds. "And if it's in writing, there's no arguing it."
10. Do I really need a partner?
If you can get someone to do something without giving them a stake in your business, it's always better, Moore says. People get wrapped up in the idea of needing to work with someone, bu
Advantages and disadvantages of having a business partner
Some of the advantages of working with a partner include:
1. Twice as Much Manpower
When you work with a business partner, you can do twice as much work. A lot of work goes into building a business. You need to do marketing research, networking, research and development, sales pitches, and meet with potential lenders or investors. All of this can overwhelm a business owner. In the early stages of a new venture, you may not have the resources to hire employees to assist you. Thus, you may need a partner you can trust to share the burdens of starting a new business.
2. Diversity in Skills
A business partner may bring an entirely new skill set to the table. One business partner may have a background in engineering and research, while the other excels at sales and networking. Taking advantage of utilizing the differing skill sets can help the business succeed. In addition, working with a business partner allows you to divide up tasks according to strengths, conserving time and eliminating duplication of efforts.
3. Different Perspectives
Business owners need an outside perspective to avoid tunnel vision. You might think that you have the best idea or solution to a problem, and readily invest capital into your business plans. Successful entrepreneurs have faith in their ideas, but may need someone else to put things in perspective. The decision-making process becomes easier and more realistic when two or more people objectively evaluate ideas and share their concerns and feedback.
4. Someone to Hold You Accountable
Some people become lackadaisical when they begin a business. They may have a hard time maintaining the discipline needed to stay motivated. Partners keep each other on the ball, and hold each other accountable for any mistakes.
5. Someone to Evaluate Ideas
Business partners talk to each other about their ideas. Many entrepreneurs have trouble maintaining objectivity when initiating a new business idea. A business partner helps you realistically evaluate new ideas and business plans for potential flaws. Your business partner can also build off your ideas, offering more input to refine your plan, so you have a better chance of succeeding.
6. Networking Opportunities
Networking is a fundamental aspect of business. Every time you meet someone, you have the opportunity to meet even more people through that person’s network. You need many connections to succeed in business. Having a partner gives you the opportunity to expand your list of contacts, and multiply your numbers of potential clients, investors, suppliers, and mentors.
7. Ability to Keeps Things in Perspective
Entrepreneurs often ride a roller coaster of emotions. Sometimes they become too pessimistic and other times they feel overconfident. Pessimism and too much confidence can both hinder a new business plan. A partner can help you keep everything in perspective and not get distracted by fluctuating emotions.
Disadvantages of Working with a Business Partner
A bad business partnership typically happens when an entrepreneur chooses the wrong partner,
Some of the disadvantages of working with a business partner include:
1. Different Work Ethics
Many entrepreneurs find themselves working with partners who don’t share their enthusiasm or passion for business. Partners who can’t meet deadlines, follow up with clients, or follow through with their responsibilities can bankrupt an established business or a new business venture.
Many entrepreneurs find themselves working with partners who don’t share their enthusiasm or passion for business. Partners who can’t meet deadlines, follow up with clients, or follow through with their responsibilities can bankrupt an established business or a new business venture.
Unscrupulous business partners can also contribute to the downfall of a business.
2. Lack of Experience
Some business partners don’t have the experience or skills to do their job successfully.
Some business partners don’t have the experience or skills to do their job successfully.
3. Disagreement on Direction
A poor choice of a business partner causes major problems for any business. Sometimes, even working with a motivated, talented, and brilliant partner also causes problems. Business partners may disagree on the long-term goals for the company. They may spend weeks or months bickering over key decisions. Disagreements between partners may consume resources, cause stress to other employees or lead to inconsistent business practices.
A poor choice of a business partner causes major problems for any business. Sometimes, even working with a motivated, talented, and brilliant partner also causes problems. Business partners may disagree on the long-term goals for the company. They may spend weeks or months bickering over key decisions. Disagreements between partners may consume resources, cause stress to other employees or lead to inconsistent business practices.
4. Sharing Profits
When you have a business partner, you have to split the profits. Entrepreneurs happily share profits with partners when they bring additional value to the firm. If your partner does not increase business enough to justify their involvement, however, they shouldn’t receive a share of the profits. If you make the same amount of money with a partner as you do without a partner, you may have selected the wrong person to help you run your business.
When you have a business partner, you have to split the profits. Entrepreneurs happily share profits with partners when they bring additional value to the firm. If your partner does not increase business enough to justify their involvement, however, they shouldn’t receive a share of the profits. If you make the same amount of money with a partner as you do without a partner, you may have selected the wrong person to help you run your business.
5. Complicated Relationships
When people go into business with someone close to them, they risk damaging the relationship. Business partners often have differences in opinions. Sometimes, those disagreements can lead to serious misunderstandings. Because of this, a bad business partnership can devastate a relationship when the partner is a friend, spouse, or family member.
When people go into business with someone close to them, they risk damaging the relationship. Business partners often have differences in opinions. Sometimes, those disagreements can lead to serious misunderstandings. Because of this, a bad business partnership can devastate a relationship when the partner is a friend, spouse, or family member.
6. Liability for Your Partner’s Actions
You take responsibility for whatever happens in your business. If your partner violates any laws, you may end up in court, too. This can lead to a fine for violating government regulations, a lawsuit in the case of a civil tort or if you are found liable for damages, or possible imprisonment in the event your partner commits a criminal act.
You take responsibility for whatever happens in your business. If your partner violates any laws, you may end up in court, too. This can lead to a fine for violating government regulations, a lawsuit in the case of a civil tort or if you are found liable for damages, or possible imprisonment in the event your partner commits a criminal act.
When you have a business partner, you have the added stress of making sure you know everything your partner is doing.
7. Your Reputation on the Line
Even if your partner doesn’t break the law, his or her actions may come back to haunt you. A shady or dishonest partner may lead to widespread distrust of your company. This may permanently damage your reputation. People
Even if your partner doesn’t break the law, his or her actions may come back to haunt you. A shady or dishonest partner may lead to widespread distrust of your company. This may permanently damage your reputation. People
DONT DO EVERYTHING FOR ANYTHING
Money says;find me and forget everything
Time says;followe and forget everything
Future says;struggle for me and forget everything
Heart says; do for me and forget everything
Ego says; collect everything for me and leave others without anything
But God says only remember me by abiding and adhering yourself to me through my grace and love and I will give you everything in my will which is best for you and which last forever.
You can do anything but don't abandon everything for just one thing....its OK to be someone you have studied to be but don't abandon what you are born doing ...
Be who ever but don't forget who you are...
Time says;followe and forget everything
Future says;struggle for me and forget everything
Heart says; do for me and forget everything
Ego says; collect everything for me and leave others without anything
But God says only remember me by abiding and adhering yourself to me through my grace and love and I will give you everything in my will which is best for you and which last forever.
You can do anything but don't abandon everything for just one thing....its OK to be someone you have studied to be but don't abandon what you are born doing ...
Be who ever but don't forget who you are...
Monday, 4 April 2016
How to become a famous business person..
The benefits of fame are clear.
Not celebrity fame, but business fame.
1. Landing clients becomes a cinch
2. Befriending influential people becomes easier than ever
3. And, the more people that know you, the more people YOU can help.
The question is how can you become “business famous?”
Become Famous
 by Alexio Fame

If you are reading this, it's probably your dream to Become Famous one day. But Becoming famous is not as hard, as everyone makes to be.
The hard part is keeping that celebrity status.
Go on any Social Media site, like YouTube and you will see people becoming celebrities overnight by doing almost anything ....
Is your goal to JUST become famous and be forgotten about within a month, then skip to the end of the article. But if you want to become famous and retain your celebrity status keep on reading.
In order to become famous and at the same time grow on your newly acquired celebrity status, you need to do the following:
Step 1: Create a Celebrity Image
Step 2: Find Your It Factor or Decide on a Reputation
Step 3: Get Exposure
HOW TO BECOME A FAMOUS BUSINESSPERSON
There are any number of businessmen who are successful. Your neighborhood must contain some of them.
How to Become Famous?
Be a Gentleman
Look at all famous businessmen. They had become famous for a variety of reasons. Ratan Tata, for instance, is known as a gentleman extraordinary. A bachelor, have you heard anything untoward said about him? And, he has money to burn! He could get anything in the world and anyone at his beck and call! He is famous for his integrity and honesty. Follow him to glory.
Be Innovative
Take the Ambani brothers. The brothers represent daring and inventiveness. They have, of course, wherewithal but how many very rich businessmen attempt everything these two do? They always think on a global scale and achieve their goal, come what may. If you can do that, you are on your way to becoming famous.
No Non-Sense Approach
Some business people are known by their non-nonsense approach to workers and their dealings with the clients. It is, in a way, easy to run a business this way. Everybody would know that you would raise hell when he fails in his job. So you become famous for digging your hells in and not budging an inch.
Famous at Small Scale
You are not a businessman on that scale? That should not really matter. A small businessman who contributes to the local welfare can become famous. Sponsor local sports and cultural programmes. Business people in movie production are famous too. Best of all, you can join politics, you are likely to become a famous businessman cum politician.
Friday, 1 April 2016
ELIMU YA UJASILIAMALI JUU YA UKULIMA WA MAHINDI
Upandaji wa Mahindi
1. Mbegu Upandaji wa mahindi unatakiwa ufanyike pale tu mvua zinapoanza kunyesha, kuchelewa kupanda mahindi kwa siku moja hupunguza uzalishaji wa mmea kwa asilimia 1 hadi 2. Kupanda mbegu za mahindi katika hecta moja kwa mkono kunahitaji angalau siku tano hadi kumi. Mbegu huwekwa kwenye shimo lenye urefu wa sentimita tano ili kuzuia kuchipua kutokana na mvua zisizo za kweli. Kwa ekari moja kilo 8 hadi 10 za mbegu za mahindi zitahitajika na kilo 25 kwa hecta. Ili kuwa na mahindi yaliyosimama vizuri, inashauriwa kuacha nafasi ya sentimita 75 (mstari kwa mstari) na sentimita 30 (mbegu kwa mbegu) ambazo zitatoa mazao ya mahindi 44,000 kwa hecta moja katika maeneo yenye mvua za kutosha. Au unaweza kuweka nafasi ya 75×25 ambayo itatoa mimea 53,000 kwa hecta moja. Katika maeneo ambayo ni makavu sana inashauriwa kuongeza ukubwa wa nafasi hadi angalau 90×30.
2. Magugu Kupalilia mahindi kunatakiwa kufanyike wiki 4 hadi 6 za mwazo baada ya kujitokeza kwani magugu husababisha uharibifu mkubwa katika mahindi kwa kuchukua virutubisho ambavyo vingetumika kama chakula cha mmea. i) Gugu chawi/sani (striga) ii)Bungua weupe wa kahawia (stalk borer)
3. Mbolea
iii) Bungua/viwavi/Funza (stem borer) Mbolea ambazo zina chumvi chumvi na zenye kuyeyuka haraka kwenye maji huleta madhara yafuatayo: Huzuia viumbehai kukua hivyo kuharibu udongo. Hulazimisha mimea kutumia hizi chumvi chumvi hata kama mimea haizihitaji. Mimea inapotumia hizi chumvi chumvi kwa kulazimishwa ukuaji wake huvurugika na kusababisha upungufu wa afya na kinga hivyo kufanya mimea iweze kuathiriwa na magonjwa pamoja na wadudu. Inashauriwa kutumia mbolea ambazo ni endelevu/hai na haziyeyuki haraka kwenye maji kwa mfano samadi, mboji na mabaki ya mimea ambazo ni nzuri kwa udongo, mimea, mazingira, afya na faida zake ni za muda mrefu. Kama ukitumia samadi au mboji, inashauriwa kuchanganya mbolea hizi katika udongo kabla ya kupanda mahindi ili kusaidia kurutubisha ardhi na kuupa mmea chakula na nguvu, baada ya mimea kuota inatakiwa kuendelea kuweka mbolea hizi mara kwa mara. Pia mbolea hai/endelevu husaidia kuhifadhi unyevu nyevu na kupunguza ukaukaji wa udongo. Madini ya nitrogen, phosphorous na potassium hupatikana kwenye mbolea hai kama vile samadi, mboji, mimea mibichi yenye uwezo wa kutengeneza nitrogen, mkojo wa mnyama na majivu. Inashauriwa kuhakikisha kuwa udongo wako unapitisha hewa ya kutosha ili kusaidia viumbehai waishio kwenye udongo wanaozalisha hivi virutubisho kuweza kukua.
4. Kukomaa na kuvuna Kukomaa kwa mahindi hutofautiana kutokana na aina ya mbegu iliyotumika. Lakini mahindi mengi huwa yamekomaa baada ya miezi mitano hadi saba. Majani ya muhindi yakianza kukauka ni ishara kuwa mahindi yamekomaa na inashauriwa kuyavuna mara moja na kuyahifadhi vizuri ili kuzuia hasara ambazo zitatokea kutokana na kuharibiwa na magonjwa au wadudu shambani kama yakicheleweshwa.
Kilimo Mseto (mchanganyiko) Kilimo mseto (mchanganyiko) ni aina ya kilimo ambayo inajumuisha kupanda mazao mawili au zaidi kwenye shamba moja katika wakati mmoja. Aina hii ya kilimo inajumuishwa na kilimo hai au kilimo endelevu na inafanyika katika maeneo mengi. Katika kilimo mchanganyiko, zao moja huwa muhimu kwasababu za kiuchumi au chakula na zao jingine au mazao mengine hupandwa ili kusaidia hilo zao muhimu. Dhumuni la kupanda mmea zaidi ya mmoja kwenye shamba ni kuongeza mavuno kutoka shambani kwa kutumia ardhi ambayo isingeweza kutumika yote kupanda mmea mmoja. Ni muhimu kufanya tathmini ya kina ili kuhakikisha kuwa mimea haitagombania maji, mwanga wa jua, nafasi ya kukulia na virutubisho vingine kutoka katika udongo. Namna moja wapo ya kilimo mseto/mchanganyiko ni kupanda mmea wenye mizizi mirefu pamoja na mmea wenye mizizi mifupi au kupanda mmea mrefu wenye kuhitaji jua pamoja na mmea mfupi ambao hauhitaji sana jua. Hapa mmea mrefu utausaidia mmea mfupi kwa kuukinga na mwanga wa moja kwa moja kutoka kwenye jua. Miongoni mwa mazao ambayo yanaweza kupandwa pamoja na mahindi ni pamoja na Maharage, Njegere, karanga na Soya (jamii ya kunde). Namna ya kilimo mseto kwaajili ya kufukuza wadudu na kuzuia magugu (Sukuma-Vuta) Sukuma-Vuta ni mfumo wa kilimo ambao hutumika katika kufukuza wadudu waharibifu na kuzuia magugu maharibifu kwenye mahindi. Mfumo huu ni rahisi na nafuu kuunda. Itahitaji kuwa na majani ya Napier/Elephant grass (matembo tembo) na Desmodium katika kutengeneza huu mfumo. Desmodium hupandwa katikati ya mistari ya mahindi na hutoa harufu ambayo bungua/viwavi (stem borer) hawaipendi hivyo kuwafanya wasije kwenye mahindi. Napier grass (matembo tembo) hupandwa kuzunguka matuta ya mahindi, hutumika kama mtego wa bungua/viwavi (stem borer) kwani bungua hupendelea zaidi haya majani kuliko mahindi na huvutwa kutaga mayai. Lakini matembo tembo hayaruhusu bungua wadogo waliototolewa kukua hivyo hutoa kitu fulani kama gundi ambayo huwanasa. Hii husababisha kutokukua kwa bungua na hivyo kupunguza uharibifu na hasara katika mahindi. Desmodium pia hutumika kuzuia magugu kama vile striga (gugu chawi/sani) ambayo ni maharibifu kuota. Tafiti zinaonyesha kuwa majimaji ambayo hutolewa na desmodium huzuia striga na hivyo striga haziwezi kuota sehemu ambayo desmodium inaota. Pia desmodium husaidia kuongeza madini ya nitrogen kwenye udongo ambayo ni muhimu kwa mahindi kukua na kuzaa. Namna ya kutengeneza mfumo wa Sukuma-Vuta
1. Panda majani ya Napier (matembo tembo) kwenye mipaka ya shamba lako la mahindi.
2. Weka angalau mistari mitatu ya matembo tembo na angalau mikono miwili ya samadi kwenye kila shimo.
3. Katika mwaka wa kwanza, panda matembo tembo kabla ya mvua ili yaanze kuota kabla ya mahindi.
4. Pata mbegu au vijiti vya desmodium na kuvipanda, kama utatumia mbegu kwa ekari moja kilo moja ya mbegu itahitajika na kama utatumia vitawi basi hakikisha kuwa kuna mvua ya kutosha na udongo una unyevunyevu.
5. Tayarisha udongo kwa makini ili kuhakikisha kuwa uko vizuri kisha changanya mbegu za desmodium.
6. Tumia fimbo/kijiti kigumu kilichochongeka kuweka mitaro katika matuta ambapo mahindi yatapandwa.
7. Panda mbegu za mahindi kwenye shamba lililozungukwa na matembo tembo.
8. Baada ya wiki 3 hadi 6, katia majani ya desmodium ili yasizidi katika mahindi. 9. Hakikisha shamba halina magugu mengine ili matembo tembo yaanze pamoja na mahindi. Bungua watapendelea zaidi matembo tembo kuliko mahindi. Faida za kutumia mfumo wa Sukuma-Vuta Kuongeza mavuno ya mahindi kwa asilimia 25 hadi 30 katika maeneo ambayo bungua/viwavi (stem borer) ni tatizo sugu. Kama tatizo ni bungua na striga unaweza kuongeza mavuno mara mbili zaidi. Kuongeza lishe ya ng’ombe kwa kutumia majani ya matembo tembo na desmodium. Kuongeza madini ya nitrogen kwenye udongo ambayo ni muhimu kwa mahindi. Kubakisha unyevu nyevu na kuongeza rutuba kwenye udongo kwa kutumia majani ya desmodium. Kupungua kwa kazi ya kupalilia kwani magugu hupungua au kutoota kabisa. Kukinga mahindi kwa kutumia matembo tembo kuzuia upepo mkali.
1. Mbegu Upandaji wa mahindi unatakiwa ufanyike pale tu mvua zinapoanza kunyesha, kuchelewa kupanda mahindi kwa siku moja hupunguza uzalishaji wa mmea kwa asilimia 1 hadi 2. Kupanda mbegu za mahindi katika hecta moja kwa mkono kunahitaji angalau siku tano hadi kumi. Mbegu huwekwa kwenye shimo lenye urefu wa sentimita tano ili kuzuia kuchipua kutokana na mvua zisizo za kweli. Kwa ekari moja kilo 8 hadi 10 za mbegu za mahindi zitahitajika na kilo 25 kwa hecta. Ili kuwa na mahindi yaliyosimama vizuri, inashauriwa kuacha nafasi ya sentimita 75 (mstari kwa mstari) na sentimita 30 (mbegu kwa mbegu) ambazo zitatoa mazao ya mahindi 44,000 kwa hecta moja katika maeneo yenye mvua za kutosha. Au unaweza kuweka nafasi ya 75×25 ambayo itatoa mimea 53,000 kwa hecta moja. Katika maeneo ambayo ni makavu sana inashauriwa kuongeza ukubwa wa nafasi hadi angalau 90×30.
2. Magugu Kupalilia mahindi kunatakiwa kufanyike wiki 4 hadi 6 za mwazo baada ya kujitokeza kwani magugu husababisha uharibifu mkubwa katika mahindi kwa kuchukua virutubisho ambavyo vingetumika kama chakula cha mmea. i) Gugu chawi/sani (striga) ii)Bungua weupe wa kahawia (stalk borer)
3. Mbolea
iii) Bungua/viwavi/Funza (stem borer) Mbolea ambazo zina chumvi chumvi na zenye kuyeyuka haraka kwenye maji huleta madhara yafuatayo: Huzuia viumbehai kukua hivyo kuharibu udongo. Hulazimisha mimea kutumia hizi chumvi chumvi hata kama mimea haizihitaji. Mimea inapotumia hizi chumvi chumvi kwa kulazimishwa ukuaji wake huvurugika na kusababisha upungufu wa afya na kinga hivyo kufanya mimea iweze kuathiriwa na magonjwa pamoja na wadudu. Inashauriwa kutumia mbolea ambazo ni endelevu/hai na haziyeyuki haraka kwenye maji kwa mfano samadi, mboji na mabaki ya mimea ambazo ni nzuri kwa udongo, mimea, mazingira, afya na faida zake ni za muda mrefu. Kama ukitumia samadi au mboji, inashauriwa kuchanganya mbolea hizi katika udongo kabla ya kupanda mahindi ili kusaidia kurutubisha ardhi na kuupa mmea chakula na nguvu, baada ya mimea kuota inatakiwa kuendelea kuweka mbolea hizi mara kwa mara. Pia mbolea hai/endelevu husaidia kuhifadhi unyevu nyevu na kupunguza ukaukaji wa udongo. Madini ya nitrogen, phosphorous na potassium hupatikana kwenye mbolea hai kama vile samadi, mboji, mimea mibichi yenye uwezo wa kutengeneza nitrogen, mkojo wa mnyama na majivu. Inashauriwa kuhakikisha kuwa udongo wako unapitisha hewa ya kutosha ili kusaidia viumbehai waishio kwenye udongo wanaozalisha hivi virutubisho kuweza kukua.
4. Kukomaa na kuvuna Kukomaa kwa mahindi hutofautiana kutokana na aina ya mbegu iliyotumika. Lakini mahindi mengi huwa yamekomaa baada ya miezi mitano hadi saba. Majani ya muhindi yakianza kukauka ni ishara kuwa mahindi yamekomaa na inashauriwa kuyavuna mara moja na kuyahifadhi vizuri ili kuzuia hasara ambazo zitatokea kutokana na kuharibiwa na magonjwa au wadudu shambani kama yakicheleweshwa.
Kilimo Mseto (mchanganyiko) Kilimo mseto (mchanganyiko) ni aina ya kilimo ambayo inajumuisha kupanda mazao mawili au zaidi kwenye shamba moja katika wakati mmoja. Aina hii ya kilimo inajumuishwa na kilimo hai au kilimo endelevu na inafanyika katika maeneo mengi. Katika kilimo mchanganyiko, zao moja huwa muhimu kwasababu za kiuchumi au chakula na zao jingine au mazao mengine hupandwa ili kusaidia hilo zao muhimu. Dhumuni la kupanda mmea zaidi ya mmoja kwenye shamba ni kuongeza mavuno kutoka shambani kwa kutumia ardhi ambayo isingeweza kutumika yote kupanda mmea mmoja. Ni muhimu kufanya tathmini ya kina ili kuhakikisha kuwa mimea haitagombania maji, mwanga wa jua, nafasi ya kukulia na virutubisho vingine kutoka katika udongo. Namna moja wapo ya kilimo mseto/mchanganyiko ni kupanda mmea wenye mizizi mirefu pamoja na mmea wenye mizizi mifupi au kupanda mmea mrefu wenye kuhitaji jua pamoja na mmea mfupi ambao hauhitaji sana jua. Hapa mmea mrefu utausaidia mmea mfupi kwa kuukinga na mwanga wa moja kwa moja kutoka kwenye jua. Miongoni mwa mazao ambayo yanaweza kupandwa pamoja na mahindi ni pamoja na Maharage, Njegere, karanga na Soya (jamii ya kunde). Namna ya kilimo mseto kwaajili ya kufukuza wadudu na kuzuia magugu (Sukuma-Vuta) Sukuma-Vuta ni mfumo wa kilimo ambao hutumika katika kufukuza wadudu waharibifu na kuzuia magugu maharibifu kwenye mahindi. Mfumo huu ni rahisi na nafuu kuunda. Itahitaji kuwa na majani ya Napier/Elephant grass (matembo tembo) na Desmodium katika kutengeneza huu mfumo. Desmodium hupandwa katikati ya mistari ya mahindi na hutoa harufu ambayo bungua/viwavi (stem borer) hawaipendi hivyo kuwafanya wasije kwenye mahindi. Napier grass (matembo tembo) hupandwa kuzunguka matuta ya mahindi, hutumika kama mtego wa bungua/viwavi (stem borer) kwani bungua hupendelea zaidi haya majani kuliko mahindi na huvutwa kutaga mayai. Lakini matembo tembo hayaruhusu bungua wadogo waliototolewa kukua hivyo hutoa kitu fulani kama gundi ambayo huwanasa. Hii husababisha kutokukua kwa bungua na hivyo kupunguza uharibifu na hasara katika mahindi. Desmodium pia hutumika kuzuia magugu kama vile striga (gugu chawi/sani) ambayo ni maharibifu kuota. Tafiti zinaonyesha kuwa majimaji ambayo hutolewa na desmodium huzuia striga na hivyo striga haziwezi kuota sehemu ambayo desmodium inaota. Pia desmodium husaidia kuongeza madini ya nitrogen kwenye udongo ambayo ni muhimu kwa mahindi kukua na kuzaa. Namna ya kutengeneza mfumo wa Sukuma-Vuta
1. Panda majani ya Napier (matembo tembo) kwenye mipaka ya shamba lako la mahindi.
2. Weka angalau mistari mitatu ya matembo tembo na angalau mikono miwili ya samadi kwenye kila shimo.
3. Katika mwaka wa kwanza, panda matembo tembo kabla ya mvua ili yaanze kuota kabla ya mahindi.
4. Pata mbegu au vijiti vya desmodium na kuvipanda, kama utatumia mbegu kwa ekari moja kilo moja ya mbegu itahitajika na kama utatumia vitawi basi hakikisha kuwa kuna mvua ya kutosha na udongo una unyevunyevu.
5. Tayarisha udongo kwa makini ili kuhakikisha kuwa uko vizuri kisha changanya mbegu za desmodium.
6. Tumia fimbo/kijiti kigumu kilichochongeka kuweka mitaro katika matuta ambapo mahindi yatapandwa.
7. Panda mbegu za mahindi kwenye shamba lililozungukwa na matembo tembo.
8. Baada ya wiki 3 hadi 6, katia majani ya desmodium ili yasizidi katika mahindi. 9. Hakikisha shamba halina magugu mengine ili matembo tembo yaanze pamoja na mahindi. Bungua watapendelea zaidi matembo tembo kuliko mahindi. Faida za kutumia mfumo wa Sukuma-Vuta Kuongeza mavuno ya mahindi kwa asilimia 25 hadi 30 katika maeneo ambayo bungua/viwavi (stem borer) ni tatizo sugu. Kama tatizo ni bungua na striga unaweza kuongeza mavuno mara mbili zaidi. Kuongeza lishe ya ng’ombe kwa kutumia majani ya matembo tembo na desmodium. Kuongeza madini ya nitrogen kwenye udongo ambayo ni muhimu kwa mahindi. Kubakisha unyevu nyevu na kuongeza rutuba kwenye udongo kwa kutumia majani ya desmodium. Kupungua kwa kazi ya kupalilia kwani magugu hupungua au kutoota kabisa. Kukinga mahindi kwa kutumia matembo tembo kuzuia upepo mkali.
Never blame a day in yo life
Dear friend never blame a day in your life;Good days give you happiness and bad days give you a special experience about life and the way you have or you need to undergo.Both are essential in life and are God's given and blessings pray and allow yourself to God himself can know how to take care of you in both.I am wishing you a wonderful experience in life my friend
NUTRITIONAL TIPS FOR WOMEN
Dietary surveys show that adolescents do not meet age and gender nutrients recommended and have inadequate intake of calcium, iron, thiamine,riboflavin and vitamin A &C....(Skiba 1997).
1.Calcium is important for normal muscles action,important component in blood clotting and it is used in construction of bones and teeth.
-calcium is important to women because it prevents osteoporosis when combined with vitamin D.Women are at risk to osteoporosis when they have reached menopause.... intake of Ca & vitamin D supplements is advised.
-calcium is found in milk,cheese,yogurt, whole grains,edible bones of fish and green leafy.
.
.
2.Iron is important for synthesis of haemoglobin, increase maternal blood volume.
-Low iron intake to non pregnant women may lead to anaemia.
Low intake of iron to pregnant women may lead to fetal consequence like low birth weight, preterm delivery,affect cognitive and physical development of infant.
-Iron is found in liver,fish,meat and legumes.
1.Calcium is important for normal muscles action,important component in blood clotting and it is used in construction of bones and teeth.
-calcium is important to women because it prevents osteoporosis when combined with vitamin D.Women are at risk to osteoporosis when they have reached menopause.... intake of Ca & vitamin D supplements is advised.
-calcium is found in milk,cheese,yogurt, whole grains,edible bones of fish and green leafy.
.
.
2.Iron is important for synthesis of haemoglobin, increase maternal blood volume.
-Low iron intake to non pregnant women may lead to anaemia.
Low intake of iron to pregnant women may lead to fetal consequence like low birth weight, preterm delivery,affect cognitive and physical development of infant.
-Iron is found in liver,fish,meat and legumes.
Subscribe to:
Posts (Atom)