Search This Blog

Wednesday, 30 March 2016

39 ANCIENT WISDOM TIPS FOR SINGLES ON MARRIAGE By D.K. Olukoya G.O MFM

39 ANCIENT WISDOM TIPS FOR SINGLES ON MARRIAGE
By D.K. Olukoya G.O MFM

1.  Wedding is a day but marriage is a lifetime .
2.  A stingy man who is single will still be stingy when married.
3.  Silence can never be misquoted.
4.  If you want what no one has had, you must do what no one has done.
5.  When God wants to bless you, He puts a person in your life. When Satan wants to destroy you, he puts a person in your life.
6.  It is better to be single and alone than to be married to the wrong person.
7.  Avoid a contentious woman.
8.  3 men to avoid:
              a.   A hot tempered man.
              b.   A womanizer.
              c.    A drunkard.
9.  Marrying a comedian does not guarantee a happy marriage.
10. Never be yoked to anyone who will not be yoked to Christ.
11. 3 words that echo peace in a marriage:
            a.  I love you .
            b.  I am sorry .
            c.  Thank you.
12. Don't waste your time meditating or dwelling on your singleness.
13. Cohabitation is a recipe for marital failure .
14. Deal with anti marriage dreams.
15. Masturbation is destruction.
16. Marriage without friendship is like a sky without the sun.
17. If you rush into marriage, you may end up with someone who will bury your destiny.
18. A successful marriage is always a triangle : God,  A man and a woman.
19. Why you marry is as important as who you marry.
20. Much happiness in life depends on your marital choice.
21. A man needs divine wisdom from God in choosing who to marry.
22. Do not place your priority on good looks ; no woman is ugly, she just needs rebranding.
23. 3 major characteristics to look for in a woman :
              a.  Fear of God.
              b.  Wisdom.
              c.   Discretion (beauty is vanity ).
24. The best way to enslave a woman is to show her love excessively - as a rule, women don't run away from where they're pampered.
25. Love is not blind ; infatuation and lust are blind.
26. Love puts God first, lust puts sex first.
27. Test every love with your peace of mind, if it is absent, God is not there.
28. If you are a true friend, you will attract true friends.
29. Caring hearts never lack caring hands.
30. Desperation leads to frustration.
31. Bad marriages can be avoided before they begin.
32. Keep your self pure and your bed undefiled.
33. It is spiritual insanity to plan to convert someone so you can marry the person.
34. Wage war against the devil that fought your parents' marriage.
35. Marriage is a covenant, always look before you leap.
36. It is better to be single and believing God to be married than to be married and believing in God to be single.
37. A broken courtship is better than a failed marriage.
38. Do not marry money or property, marry a person.
39. Be presentable. Pls forward it to d singles in ur contact.

Its good to be rich but...

It is indeed good to be rich....but..how did u get  rich?do u value the people that helped u get there?is God still praised in yo heart?do u help others?r u at least fair and practice justice?

Many questions to be asked to the rich...back to the one's dreaming to b rich
Why do u want to b rich?can u maintain worshiping God and respect the others?r u a cheerful giver?

Back to others ....how far do u dream?
.
.
Being rich is easy not grounded in moral roots but being a responsble,humble,wise rich person u have to be prepared not only on how to get money and wealth but also on getting the divine knowledge..and skills.
..
Mithali13:22"mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki"
-tanua ufikiri wako ktk ndoto sio tu upateutajiri uishi vizuri wewe na familia yako Bali hata na kwa wajukuu zako utajiri wako ukawe urithi kwao
-usikimbie majukumu kwakupanga kuwapa watoto wako jukumu lakusomesha wadogo zao... have better plans for all of yo kids as long as yo alive.
-tenda haki na kila lililo jema kwa kila ajae kwako.
-ukipanga juu ya lini kua na mtoto wa kwanza usisahau juu ya mtoto wa mwisho..
KAMA MAISHA NI MIPANGO KUBALI KUJIFUNZA ILI UPANGE VYEMA.

What to do when life seems difficult

Even if life is too difficult, but when you see something which is so important in your life and which is very expensive don't say i can't afford it but just say How can i afford it!Because when you say I can't afford, your brain stop thinking on it but if you say how I can afford it,the brain finds and gets a new ideas of thinking of how to afford that thing.

By Thadei.P.M

Monday, 28 March 2016

ELIMU YA UJASILIAMALI JUU YA UFUGAJI WA NGURUWE

MCHANGANUO MDOGO WA MRADI WA NGURUWE

-Nguruwe watoto 20 @ 20,000 = 400,000
- Banda la mabanzi=1,000,000
- Chakula = 1,000,000
- Dawa= 200,000

After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000.

After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700. Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike).

Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500.
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.

Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda chuo cha sokoine (SUA) na vyuo vingine vya kilimo na mifugo ukaonane na wataalamu au tembelea maofisa ugani na wataalam mbalimbali wa mifugo au wafugaji wenye uzoefu.

ZIJUE KANUNI KUU NNE KATIKA UFUGAJI WA NGURUWE.

 Je unazifahamu aina za nguruwe na sifa zake,

 Zifuatazo ni aina za nguruwe zinazo fungwa kwa wingi  nchini Tanzania ambazo pia mfugaji yeyote anaweza kufuga kwani upatikanaji wake ni rahisi kwa maeneo yaliyo mengi.

Large white.
Nguruwe hawa wana rangi nyeupe mwili mzima
Masikio yao yanakuwa yamesimama mda wote.
Nyuso zao zimeingia kwa ndani kidogo (muonekano wake upo kama dish)

Saddleback
Wakubwa tofauti na aina nyingine za nguruwe.
Masikio yamelala kiasi

Landrace
Wana ukubwa wa wastani
Wana rangi nyeusi na mstari mweupe kuzunguka shingo na miguu ya mbele.

Mara baada ya kuzijua aina za nguruwe na sifa zake, sasa zijue kanuni za msingi katkia ufugaji wa nguruwe.

Mambo ya msingi kwa ufugaji wa nguruwe.

- Chagua koo zinazo zalisha vyema.
Uchaguzi wa koo huchangia zaidi ya asilimia 80 katika mafanikio ya ufugaji wa nguruwe, chagua koo amabayo ina  zalisha watoto wengi na wenye afya.
Kwa mfugaji ambaye anataraji kununua nguruwe kutoka kwa mfugaji mwingine, Zingatia sana kumbukumbu zilizo wekwa na mfugaji yule na cha msingi ziwe sahihi hii itakupa picha ya kujua uzazi wa nguruwe huyo.

- Jenga banda bora.
Jenga banda ambalo linaendana na idadi na ukubwa wa nguruwe, banda ambalo halitapitisha mwanga mkali wa jua, upepo mkali,pia litakalo himimili mikimiki ya nguruwe wakorofi, hii itasaidia kupunguza usumbufu na bugudha kwa nguruwe na hatazalisha bila shida kwa nguruwe anayeishi katika nyumba yenye bugudha na usumbufu uzalishaji wake upungua sana uzalushaji.

- Zingatia afya bora kwa nguruwe.
Sote tunafahamu afya ni kitu cha msingi sana iwe kwa binadamu na hata mnyama hivyo, Afya bora ya nguruwe ni kitu cha msingi sana kuzingatiwa kwa kwa nguruwe asiye na afya bora udhoofika na uzalishaji wake hushuka kwa kiwango kikubwa sana..
Afya bora hutokana na kufanya, Chanjo dhidi ya magonjwa kama minyoo.

- Walishe wanyama chakula bora.
Chakula cha nguruwe ni muhimu kiandaliwe kulingana ma umri wa
nguruwe na mahitaji katika mwili wa nguruwe
Chakula cha nguruwe kiwe katika uwiano sahihi hii, chakula ambacho kita kidhi mahitaji ya mwili na uzakushaji kuwa mkubwa.
Nguruwe hapatiwe chakula chenye vyanzo vya madini, vitamin na protini.
Vyakula venye vyanzo vya protini husaidia sana katika kujenga mwili.
Vitamin na madini vyakula venye vyanzo hivi vinahitajika kwa wigni hasa calcium na phosphorus kwa nguruwe wa kunenepesha na walioachishwa kunnyonya.
Epuka kuwapa nguruwe kuwapa chakula chenye chumvi nyingi kwani hii itamfanya nguruwe kunywa maji mengi sana na matokeo yake nguruwe huarisha sana natimaye ukuaji wake huwa wa polepole. Hata hivyo kumbuka chumvi uongeza radha ya chakula na uwekaji wake katika mchanganyo wa chakula uwe ni asilimia 0.5 tu

ELIMU YA UJASILIA MALI KUHUSU UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI

UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KAMA MRADI

MAHITAJI

1. Kuku(tetea) 10 na Jogoo 01
2. Banda bora
3. Vyombo vya chakula na maji
4. Chakula bora
5. Madawa na chanjo kwajili ya magonjwa
6. Chanzo cha nishati joto na mwanga
7. Elimu na ujuzi wa malezi bora
8. Chombo au chumba cha kutunzia vifaranga
9. Mayai ya kuku wa kisasa/mayai mabovu(ambayo hayakuanguliwa)
10. Madaftari au kitabu cha kutunzia kumbukumbu

KUKU 10
Wakati wa kuanza mradi wako hakikisha una kuku 10 (matetea) wenye umri sawa na hawajawai kutaga hata mara moja. Chagua kuku wenye rangi nzuri kutoka katika familia bora kutegemea malengo ya mradi wako. Mfano kama lengo lako ni kuzalisha kuku wa kienyeji kwa ajili ya nyama basi chagua mbegu ambayo inakuwa haraka na yenye uzito mkubwa,Au ikiwa lengo ni mayai basi ni vema kuchagua aina ya kuku yenye kukua haraka na kutaga mayai mengi.
Ili kupunguza gharama za manunuzi ya kuku na hivyo kuongeza faida kwa mfugaji ni vema kununua kuku wadogo ambao wametoka tu kuachishwa kulelewa na mama zao. Kuku hawa utawapata kwa bei ya chini, tena watafaa sana maana watakua na umri mmoja

 JOGOO 01
Jogoo mmoja tu anatosha kuwahudumia kuku matetea yote kumi.
 Hakikisha katika uchaguzi wa jogoo bora lililochangamka, rangi mzuri, upanga umesimama, macho angavu, uzito wa kutosha, rangi nzuri na uwezo mkubwa wa kuzalisha. Ni vema mfugaji akaelewa kwamba kuku wote watakaozalishwa watategemea ubora wa jogoo wake. Uwezo wa kutaga kwa kuku na upatikanaji wa mayai pia hutegemea kwa karibu ubora wa jogoo aliyechaguliwa.

 BANDA BORA
Miongoni mwa mambo mhimu naya kwanza kuzingatiwa katika ufugaji wa kuku wa kienyeji kama mradi ni maandalizi ya banda bora. Kuku huhitaji banda bora ili wasiathirike na madhara mbalimbali. Mfugaji anatakiwa kuandaa banda lenye ukubwa wa mita 10 kwa mita 04.
Yaani urefu uwe mita 10 na upana upana wa mita 04. Kisha kata vyumba vya mita 2 urefu na upana mita 4 kutoka katika banda lako hivyo utakuwa na jumla ya vyumba vitano vyenye ukubwa unaolingana.
Ujenzi uzingatie malighafi na vifaa vinavyopatikana kwa urahisi katika mazingira husika.
Mfano katika maeneo ambayo fito
zinapatikana kwa urahisi banda linaweza kuandaliwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo.
Au sehemu ambayo mabanzi hupatikana kwa urahisi basi banda laweza kujengwa kwa kutumia mabanzi.
Vifaa vya kujengea banda vizingatie pia gharama na upatikanaji wake katika eneo husika.
Baadhi ya vifaa hivyo ni kama ifuatavyo:-

Sakafu: Saruji, udongo, mbao, mianzi au fito

Kuta: Fito, mabanzi, mbao, nguzo mianzi,udongo, matofali, mawe, mabati na wavu

Paa: Nyasi, makuti, majani ya migomba, mabati na vigae.

Wigo: Matofali, mbao, fito nguzo, mabanzi, mianzi, matete, wavu na mabati

Banda bora la kuku linatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:-

Imara, lenye uwezo wa kuwahifadhi kiafya na pia dhidi ya hali ya hewa hatarishi kwa mfano jua kali, upepo, baridi na mvua pamoja na wanyama hatari.

Lenye mwanga, hewa na nafasi ya kutosha inayoruhusu usafi kufanyika kwa urahisi.

Lijengwe sehemu yenye mwinuko isiyotuama maji, isiyo na upepo mkali na iwe mbali kidogo na nyumba ya kuishi watu.

Liwe na vichanja kwa ajili ya kuku kupumzika na kulala.

Liwe na sehemu ya kuwekea chakula, maji, kutagia, kuatamia na sehemu ya kulelea vifaranga.

Liwe na nafasi ya kutosha kulingana na idadi ya kuku na kuweka vyombo vya chakula na maji.

Kwenye mazingira ya joto banda liwe la ukuta mfupi na sehemu kubwa wazi yenye wavu hadi kufikia kwenye paa.

Kwenye mazingira ya baridi banda liwe na ukuta mrefu unaokaribia paa na sehemu ndogo tu iwe wazi yenye wavu ili kupitisha hewa na mwanga

JINSI YA KUFANYA

Wakuze kuku wako hadi watakapofikia muda wa kutaga.
Wakianza kutetea ni kiashiria kwamba wakati wa kutaga umekaribia hivyo andaa viota kwajili ya kutagia.
Viota vinapaswa viwe na ukubwa stahiki ili kumwezesha kuku kuyafunika mayai yote vizuri wakati wa kuetamia, viota viwe vinavyozuia mayai kutawanyika, viwe mahali pakavu na safi.
Hakikisha kuku wote wanataga katika viota tofauti. Kuku anapotaga
mayai matatu unapashwa kuchukua mayai mawili na kumwachia yai moja ili kumfanya aendelee kutaga zaidi. Kuku akifikia yai la kumi na mbili anza kumwachia mayai matatu ili kumwandaa kwa kazi ya kutamia.
Kwa kufanya hivi, kuku atataga mayai 15 au zaidi na ikiwa atataga mayai 15 au chini ya hapo nakushauri utafute mayai mengine ujazilizie ili kufikisha mayai 20 kwa kila kuku. Zingatia kwamba mayai unayoyatoa kwa kila kuku, yanatunzwa sehemu salama, mahali pakavu, pasafi na penye joto la wastani.
Kuku wote wanapaswa kuanza kuetamia kwa siku moja. Ili kufanikisha hili inapasa uwe karibu na kuku wako. Kuku mmoja akianza kutamia mwekee mayai ya kuku wa kisasa au mayai mabovu ya kuku wa kienyeji. Utafanya hivi hadi kuku wako wote watakapoanza kuetamia mayai. Kuweka mayai mabovu au mayai ya kuku yaliyotumika humfanya kuku aendelee kuetamia akijua ni mayai yake.
Baada ya kuona kwamba kuku wako wote wapo tayari kwa kuetamia mayai, waandalie banda maalumu kwajili ya kuetamia yani chumba kimoja katika lile banda letu. Ninashauri kwamba chumba kwajili ya kuetamia kiwe chumba cha kwanza au cha mwisho katika mfuatano wa vyumba vya banda lako. Andaa viota bora vya kuetamia, weka mayai 20 kwa kila kiota, ikiwa hayajatimia unaweza kununua kwa wafugaji wengine ili kuifikia idadi yako.
Waamishe kuku kutoka wanapotagia na kuwaweka katika chumba ulichokiandaa kwajili ya kuetamia. Ili ufanikiwe katika zoezi hili inafaa lifanyike wakati wa usiku na unafanya katika giza. Mweke kuku katika kila kiota na asubuhi wajikute kila mmoja katika kiota chake. Wahudumie kwa chakula na maji ya kutosha.
Wakati wa usiku waongezee joto la ziada kwa kuweka jiko au ndoo ya chuma yenye chengachenga za mkaa au kama una umeme weka taa za joto.
Baada ya siku 21-25 kuku wako wataanza kuangua vifaranga.
Huu ndio wakati unaotakiwa kuwa karibu sana na kuku wako kuliko wakati wote. Watenge vifaranga mara tu baada ya kuanguliwa; waweke katika chumba chao maalumu mbali na kuku. Kama chumba cha kutamia kilikuwa cha kwanza basi vifaranga wawe chumba cha mwisho n.k
Ukishawatenga vifaranga mbali na matetea wako, wawekee tena mayai mengine 20 kila tetea, mayai ambayo utayanunua kwa wafigaji wenzako. Hakikisha kuku waliotaga hayo mayai ni wazuri, hawana magonjwa na wanauzito/ukubwa unaofaa. Mayai yote yakaguliwe vizuri ili kujua kwamba yameharibika, yana nyufa au mabovu. Kabla ya kuweka mayai mengine hakikisha chumba chako ni kisafi na viota vimesafishwa, havina wadudu na uchafu wowote. Kuku wako bila kujijua wataanza kuetamia upya mayai uliowawekea.
Ukiwawekea mayai rudia mzunguko kama nilivyokwambia awali. Baada ya siku 21 hadi 25 tena utapata vifaranga wako wengine tena.
Fuata kila hatua kama nilivyokwambia hapo awali. Lakini kwa awamu hii nashauri waache matetea wako wapumzike wala usiwapatie mayai mengine tena.

JINSI YA KULEA VIFARANGA
Ikikaribia siku ya 20 tangu ulipowawekea matetea wako mayai katika chumba cha kuetamia, andaa chumba kwa ajili ya kulea vifaranga.
Safisha kwa kuondoa uchafu na wadudu wote.
Washa taa ya joto au weka chombo cha kutoa joto katika chumba cha vifaranga nusu saa kabla huja
anza kuingiza vifaranga wako. Weka pia chakula na maji ya kutosha katika vyombo vyenye umbile na ukubwa utakaowawezesha vifaranga kuvitumia. Tandaza magazeti, maboksi, makaratasi n.k katika sakafu ya chumba hicho. Hakikisha vifaranga wako hawajikusanyi sehemu moja maana wakifanya hivyo wengi wao watakufa ili ufanikiwe katika jambo hili, banda lako liwe la mduara katika kona zake.
Weka joto la kutosha. Joto la kutosha ni lile linalowafanya vifaranga watawanyike chini ya chanzo cha joto wakati kama joto limezidi vifaranya kukimbia mbali na chanzo cha joto na ikiwa joto halitoshi vifaranga hujukusanya chini ya chanzo cha joto.
Baada ya siku 3 utawapatia chanjo ya Gumboro na siku 7 wapatie chanjo ya New Castle, utarudia tena kuwapa chanjo hii baada ya mwezi mmoja kisha utafanya hivi kila baada ya miezi mitatu mitatu

MAPATO YA MRADI WAKO
Katika uzazi wa kwanza utapata vifaranga 150 kwa wastani wa vifaranga 15 kwa kila kuku.
Tuseme haujazingatia kanuni za ufugaji za makala hii ukapata vifaranga 100 yani wastani wa vifaranga 10 kwa kila kuku. Kisha baadaye wakakua wakafa kuku 50 yani watano kwa kila kuku utakuwa na jumla ya kuku 50.
Baada ya wiki 3 utapata tena kuku tufanye kwa mahesabu kama hayo hapo juu kwa hasara utakuwa na kuku wengine 50, na kufanya jumla ya kuku 100. Ikiwa kuku wako baada ya uzao wa pili uliwapumzisha kwa miezi miwili basi mwezi wa 3 utapata tena kuku vifaranga 100 na wiki 3 baadaye utapata wengine 100. Kwa mahesabu kama hayo awali wakikuwa utakuwa na kuku wengine 100 ambao watakuwa.
Baada ya miezi 6 utakuwa na kuku wakubwa wa uzao wa kwanza 50, uzao wa pili kuku 50 na utakuwa na kuku wenye umri wa miezi mitatu 50 wa uzao wa 3 na kuku wengine 50 wa uzao wa 4.
Katika kuku 100 wa uzao wa kwanza na pili, tufanye kuku 50 wawe matetea ukijumlisha na kuku 10 ulioanza nao mradi utakuwa na matetea 60. Ikiwa kila tetea atatotoa vifaranga 10 na vikakua vitano tu, mwishoni utakuwa na kuku 300 na baada ya miezi mitatu kuku wengine 900 toka katika kutoka kwa uzao wa kwanza, wapili na watatu.
 Hivyo mwaka wa pili utafunga na kuku si chini ya 1,200/= wanaotaga mayai.
Ukiuza majogoo yote 1,200/= kwa bei ya 8,000/= ili upate pesa ya kujenga miundombinu bora maana sasa utakuwa na kuku wengi wanaoendelea kuzaliana kwa kasi utapata pesa kiasi cha TZS 7,200,000/=. Sasa ongeza kuku wako wa kutaga hadi wafikie kuku 4,000 maana sasa utakuwa na pesa za kutosha kuendesha mradi wako.
Sasa ukiwa na kuku 4000 wa kienyeji wa kutaga mayai, ikiwa kuku 3000 tu watataga ukauza yai moja kwa bei ya haraka haraka ya TZS 250 tu, utapata TZS 750,000/= kwa siku ambayo sawa na TZS 22,500,000/= kwa mwezi na TZS 270,000,000/= kwa mwaka sawa sawa na 128,572 USD. Kumbuka kwamba makadilio haya niya chini sana. Ukifata kanuni zote kwa makini na maombi huku ukimtanguliza Mungu utafikia hata TZS 500,000,000/= kwa mwaka.
Kumbuka unapofanikiwa kupata mapato ya kila aina, umtolee Mungu zaka(x10%) ya mapato yako, pia ukatoe sadaka ambayo ni kubwa kuliko zaka na uwasaidie masikini na wahitaji.

Tunza kumbukumbu zako zote za fedha katika daftari maalumu kuhusu mapato na matumizi ya mradi wako. Pia hali ya kuku wako kuhusu tarehe za chanjo ya mwisho, siku walipoanza kutamia, magonjwa yanayowasumbua mara kwa mara n.k

Saturday, 26 March 2016

God doesn't want you to worry

God doesn't want u to b worried over anything because he always have yo back...when it seems as f there z no backup plan Gods plans for us r there...tatizo nkwamba most of the times tunakua focused sana nakile tunachokitaka au panga bila kujua wazo la Mungu juu ya icho kitu.wakati mwingine tunachokitaka sicho tunacho stahili.....tunakua focused na vtu tunavyo vitaka bila kujua hatima yake ikoje...Mungu ange kua mswahili nakuacha mtoto anaelilia wembe umkate ...tungekua matambara ya deki...watu wanapokosea pengine niswala la kumshirikisha Mungu baada ya juhud zetu kuyumba..wengine hunshirikisha ila sio ili aingilie kat ni ili atende wanachokitaka.
Worrying...fear..takes over many people's hearts when their expectations are not reached...to be continued

Read exodus 14:13-15
          Philippians 4:6-7

Friday, 25 March 2016

Business ideas for university students

First know who you are what are your potentias?what are your talents? What people around you need most....
Have goals to archive each day,each week,month and  yearly.
Your goals can either be to buy a land,car,establish a company, helping yo family...etc
..the following are just few of the ideas that can give u insight of what u can do and get money....keep this in yo mind nothing z too small to get u where u want....u need to b courageous...u need to b patient...
...yo suppose to b in control of yo earnings,purchase and other uses as well...
-selling electronics ie.laptops and phones
-selling softwares
-u can sell comedy or educating videos in utube.
-sell cosmetics
-stationary
-organizing tours or bash
-selling clothes and shoes
-Shop
-m.pesa/tigo/airtel
-vocha
-making t-shirts or kacha
-selling equipments ie.calculators, stethoscopes,lab coats..etc
-food business
-hand bags bzz..etc
They r so many....I leave the research to u on which is more profitable to u....MWANAFUNZI WA CHUO NI STEP NZURIJITAMBUE KWAMBA WE NI MTUMZIMA MUCH Z EXPECTED FROM U B RESPONSBLE B USEFUL...PA1


Thursday, 24 March 2016

Financial advice

 KEYS   TO FINANCIAL SUCCESS
 1. Make a financial plan.
 2. Create a budget.
3.    Start saving and investing as soon as you’ve paid off your debts.
Your First Step—Making a Financial Plan What are the things you want to save and invest for?
 •a car
 •an education
 •a comfortable social life
 •emergencies
 •periods of unemployment

Small Savings  Add Up   to Big Money 
How much does a bottle of soda cost you? If you buy a bottle of soda every day for $2.00,  that adds up to $730.00 a year.  If you saved that $730.00 for just one year,  and put it into a savings account or investment that earns 5% a year, it would grow  to  $931.69  after  5  years, and  grow  to  $3,155.02  after  30  years. That’s the power of  “compounding.” With compound interest,  you earn interest on the money you save and on the interest  that  money  earns.  Over  time,  even  a  small  amount  saved can add up to big money. If  you  are  willing  to  watch  what  you  spend  and  look  for.


Wednesday, 23 March 2016

Even worthy people know the role and importance of praying and having a timetable.... Do u av DAT spirit?

Tuesday, 22 March 2016

 HATAKAMA ULICHOOMBA AU ULICHOTARAJIA KIMECHELEWA HAI MAANISHI HAKITAKUJA SUBIRI NA ENDELEA NA KUJARIBU.

GIVE ME SOME SUNSHINE GIVE ME SOME RAIN GIVE ME ANOTHER CHANCE I WANT TO GROW UP ONCE AGAIN-it can be a metaphor with many translations.mine is that nipe nafasi nyingine nipe support yako ili niweze kufanya vizuri kuliko mwanzo.Vilevile inaweza ikasemwa hivi ipe nafasi nyingine kitu ulicho shindwa kukifanya mwanzo inaweza kua biashara au nafasi ya kaz uliomba mwanzo ukakosa  naunataka kukata tamaa au ufaulu wako katika somo flani ipe nguvu yako tena kwa kusoma usichoke ata ukishindwa tena atleast you tried HOW WILL YOU FEEL KUA UME GIVE UP ON SOMETHING AMBACHO BAADAE UNAKUJA KUJUA KWAMBA UNGE KIWEZA?Usiache kujaribu.
what-to-eat-if-you-have-cold

FOODS THAT RELIEF  PAIN: byTRACEY NEITHERCOTT and BETH HOWARD
-GINGER-migraines,arthritis and sore muscles
-COFFEE-for headaches by narrowing dilated blood vessels that develop with head aches.
-YORGUT-for soothe stomach pain
-BLACK BEANS-for head aches
-SNAPER-for head ache
FOODS THAT FIGHT STRESS:by KERI GLASSMAN,MS,RD,CDN
-AVOCADO
-CASHEW NUTS
-BERRIES
-CHOCOLATE
-ORANGES
-SHRIMP
-MILK



Know the top 3 richest women in Africa




 1.Isabel dos Santos(net worth:$3.3billion)
AGE:41
COUNTRY:ANGOLA
She is the eldest daughter of ANGOLA'S long time president JOSE EDUARDO DOS SANTOS. Working on expanding her stable investments,she is controlling stakeholders in Portugal telecom Nos SGPS. She owns 19% of Portuguese bank Banco BPI.

 2.Folorunsho Alakija(net worth:$1.9billion)
AGE:63
COUNTRY:NIGERIA

She is a self made billionaire,she persued secretarial studies and fashion design in London when she was a young woman. After coming back to Nigeria she worked as an executive secretary for many companies for sometime. Then she founded her own tailoring company,supreme stiches.The company quickly rose to prominence among Nigerian's society.Today she controls Famfa oil,which pumps out 200,000barrels a day.

3.Ngina Kenyatta(net worth:$1billion)
COUNTRY:KENYA
She is the wife of Jomo Kenyatta the first president of KENYA

She hold a vast collection of prime real estates acquired during time of British colonization also mama Kenyatta and her family owns stakes in Kenya's largest dairy company Brookside Dairies,media company mediamax,heritage hotels and commercial bank of AFRICA .


WHAT DO YOU LEARN FROM THESE GREAT WOMEN?

A free heart and mind attracts best decisions.





FORGIVE +LOVE+LET GO+MOVE ON+FOCUS ON THINGS THAT MATTERS MOST



DO NOT EXPECT ANYTHING OR EXPECT LESS FROM PEOPLE
because some expectation brings pain when not fullfilled